Ibada na Ratiba

Karibu tumwabudu Mungu wetu pamoja nasi, ufuatao ni utaratibu wa Ibada:-

Ratiba ya Jumapili

Ibada 2

  1. Ibada ya kwanza

    Saa 01:00 - 03:30 Asubuhi

  2. Ibada ya pili

    Saa 04:00 Asubuhi - 06:00 Mchana

Ratiba ya mwisho wa mwezi

Ibada 1

  1. Ibada Moja

    Saa 01:00 - 04:00 Asubuhi

Ratiba ya katikati ya Wiki

Ibada 2

  1. Morning Glory (Masifu ya Asubuhi)

    Saa 12:00 - 12:45 Asubuhi

  2. Evening Glory (Masifu ya jioni)

    Saa 12:00 - 01:30 Jioni

Ratiba ya Fellowship (Ushirika na Bwana)

Ibada 1

  1. Kila Jumapili

    10:00 - 11:00 Jioni

Ukifika KKKT Ebenezer utapata;

Maegesho ya kutosha na salama kwa chombo chako cha moto, mazingira mazuri ya kumwabudu Mungu kwa uhuru, furaha na ibada maalumu za watoto zilizopangiliwa kwa kufuata umri wa mtoto.

Bonyeza link (Fungua ramani) hapo chini kupata ramani itakayokufikisha K.K.K.T Ebenezer

Fungua ramani

Washiriki

Orodha, sadaka, na maombi ya utunzaji wa kiroho yanaweza kuwa kwenye programu ya ChMS.

Fungua ChMS / Member's Portal