Kamati ya Utendaji

Kamati ya Utendaji ya Usharika inaundwa na Mchungaji Kiongozi, Mchungaji Msaidizi, Mwinjilisti wa Usharika, Mwinjilisti mmoja mwakilishi toka katika kila Mtaa wa Usharika, Wenyeviti wa Kamati za Usharika, Katibu wa Baraza la Wazee, Katibu msaidizi na Mtunza Hazina wa Usharika.

  • Grace Mbata

    Grace Mbata

    Mchungaji Kiongozi

  • Judith Moshi

    Judith Moshi

    Mwinjilisti wa Usharika

  • Anna S. Ndosi

    Anna S. Ndosi

    Katibu wa Baraza la Wazee

  • Baraka Mahenge

    Baraka Mahenge

    Katibu Msaidizi wa Baraza la Wazee

  • Welu Kizinga

    Welu Kizinga

    M/Kiti wa Uinjilisti, Misioni na Uwakili

  • Edmund Mugasha

    Edmund Mugasha

    M/Kiti wa Mipango, Uchumi na Utawala

  • Daniel Mungure

    Daniel Mungure

    M/Kiti wa Fedha

  • Anastazia Njiku

    Anastazia Njiku

    M/Kiti wa Malezi

  • Carle Lyimo

    Carle Lyimo

    M/Kiti wa Afya na Udiakonia

  • Adam Msendo

    Adam Msendo

    M/Kiti wa Mazingira

  • Debora Daudi

    Debora Daudi

    Mtunza Hazina wa Usharika